帖撒罗尼迦前书 1
Chinese New Version (Simplified)
问安
1 保罗、西拉和提摩太,写信给帖撒罗尼迦、在父 神和主耶稣基督里的教会。愿恩惠平安临到你们。
帖撒罗尼迦教会的榜样
2 我们常常为你们众人感谢 神,祷告的时候提到你们, 3 在我们的父 神面前,不住地记念你们信心的工作,爱心的劳苦和因盼望我们主耶稣基督而有的坚忍。 4 神所爱的弟兄们,我们知道你们是蒙拣选的, 5 因为我们的福音传到你们那里,不单是借着言语,也是借着权能,借着圣灵和充足的信心。为了你们的缘故,我们在你们中间为人怎样,这是你们知道的。 6 你们效法了我们,也效法了主,在大患难中,带着圣灵的喜乐接受了真道。 7 这样,你们就成了马其顿和亚该亚所有信徒的榜样。 8 因为不单主的道从你们那里传遍了马其顿和亚该亚,就是你们对 神的信心也传遍了各处,所以我们不用再说甚么了。 9 他们都述说你们是怎样接待我们,而且怎样离弃偶像归向 神,要服事这位又真又活的 神, 10 并且等候他的儿子从天降临。这就是 神使他从死人中复活,救我们脱离将来的忿怒的那位耶稣。
1 Wathesalonike 1
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Salamu toka kwa Paulo, Sila, na Timotheo.
Kwa kanisa lililoko Thesalonike lililo milki ya Mungu baba na Bwana Yesu Kristo.
Neema na amani ziwe zenu.
Maisha na Imani ya Wathesalonike
2 Kila mara tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu nyote na kuwataja katika maombi yetu. 3 Kila tunapomwomba Mungu baba yetu, tunawakumbuka kwa yote mliyofanya kwa sababu ya imani yenu. Na tunawakumbuka kwa kazi mliyofanya kwa sababu ya upendo wenu. Na tunakumbuka jinsi mlivyo imara kwa sababu ya tumaini lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo.
4 Ndugu zetu, Mungu anawapenda. Nasi twajua yakuwa amewachagua muwe watu wake. 5 Tulipowaletea Habari Njema kwenu, tulikuja na yaliyo zaidi ya maneno. Tuliwaletea ile Habari Njema yenye uweza, pamoja na Roho Mtakatifu, na tulikuwa na uhakika kamili hiyo ilikuwa ni Kweli halisi. Pia mnafahamu tulivyo enenda tulipo kuwa pamoja nanyi. Tuliishi hivyo ili kuwasaidia ninyi. 6 Nanyi mkauiga mfano wetu na mfano wa Bwana. Mliteseka sana, lakini bado mliyakubali mafundisho na furaha inayotokana na Roho Mtakatifu.
7 Mlifanyika mfano wa kuigwa na waaminio wote wa Makedonia na Akaya. 8 Mafundisho ya Bwana yameenea toka Makedonia mpaka Akaya na nje ya mipaka yake. Kwa kweli, imani yenu katika Mungu imejulikana kila mahali, hivyo hatuna haja ya kumwambia mtu yeyote kwa habari hii. 9 Watu kila mahali wanasimulia habari ya namna mlivyotupokea vizuri tulipo kuwa pamoja nanyi. Wanasimulia namna mlivyoacha kuiabudu miungu ya uongo na kubadilika na kuanza kumwabudu Mungu aliye hai na wa kweli. 10 Na mkaanza kumngoja mwana wa Mungu aje kutoka mbinguni, Mwana ambaye Baba alimfufua kutoka kwa wafu. Yeye ni Yesu, anayetuokoa kutoka katika hukumu yenye hasira ya Mungu inayokuja.
Chinese New Version (CNV). Copyright © 1976, 1992, 1999, 2001, 2005 by Worldwide Bible Society.
© 2017 Bible League International