使徒行传 15
Chinese Union Version Modern Punctuation (Simplified)
争论外邦门徒该守摩西的律法
15 有几个人从犹太下来,教训弟兄们说:“你们若不按摩西的规条受割礼,不能得救。” 2 保罗、巴拿巴与他们大大地纷争辩论,众门徒就定规,叫保罗、巴拿巴和本会中几个人为所辩论的,上耶路撒冷去见使徒和长老。 3 于是教会送他们起行。他们经过腓尼基、撒马利亚,随处传说外邦人归主的事,叫众弟兄都甚欢喜。 4 到了耶路撒冷,教会和使徒并长老都接待他们,他们就述说神同他们所行的一切事。 5 唯有几个信徒是法利赛教门的人起来,说:“必须给外邦人行割礼,吩咐他们遵守摩西的律法。”
6 使徒和长老聚会商议这事。 7 辩论已经多了,彼得就起来说:“诸位弟兄,你们知道神早已在你们中间拣选了我,叫外邦人从我口中得听福音之道,而且相信。 8 知道人心的神也为他们作了见证,赐圣灵给他们,正如给我们一样; 9 又借着信洁净了他们的心,并不分他们我们。 10 现在为什么试探神,要把我们祖宗和我们所不能负的轭放在门徒的颈项上呢? 11 我们得救乃是因主耶稣的恩,和他们一样,这是我们所信的。”
巴拿巴和保罗述说在外邦人中所行之事
12 众人都默默无声,听巴拿巴和保罗述说神借他们在外邦人中所行的神迹奇事。 13 他们住了声,雅各就说:“诸位弟兄,请听我的话! 14 方才西门述说神当初怎样眷顾外邦人,从他们中间选取百姓归于自己的名下。 15 众先知的话也与这意思相合, 16 正如经上所写的:‘此后我要回来,重新修造大卫倒塌的帐幕,把那破坏的重新修造建立起来, 17 叫余剩的人,就是凡称为我名下的外邦人,都寻求主。 18 这话是从创世以来显明这事的主说的。’
雅各定断此事
19 “所以据我的意见,不可难为那归服神的外邦人, 20 只要写信吩咐他们禁戒偶像的污秽和奸淫,并勒死的牲畜和血。 21 因为从古以来,摩西的书在各城有人传讲,每逢安息日在会堂里诵读。”
差人送信到安提阿
22 那时,使徒和长老并全教会定意从他们中间拣选人,差他们和保罗、巴拿巴同往安提阿去。所拣选的就是称呼巴撒巴的犹大和西拉,这两个人在弟兄中是做首领的。 23 于是写信交付他们,内中说:“使徒和做长老的弟兄们问安提阿、叙利亚、基利家外邦众弟兄的安! 24 我们听说有几个人从我们这里出去,用言语搅扰你们,惑乱你们的心。[a]其实我们并没有吩咐他们。 25 所以,我们同心定意拣选几个人,差他们同我们所亲爱的巴拿巴和保罗往你们那里去。 26 这二人是为我主耶稣基督的名不顾性命的。 27 我们就差了犹大和西拉,他们也要亲口诉说这些事。 28 因为圣灵和我们定意不将别的重担放在你们身上,唯有几件事是不可少的, 29 就是禁戒祭偶像的物和血,并勒死的牲畜和奸淫。这几件你们若能自己禁戒不犯就好了。愿你们平安!”
众人接信便得安慰
30 他们既奉了差遣,就下安提阿去,聚集众人,交付书信。 31 众人念了,因为信上安慰的话就欢喜了。 32 犹大和西拉也是先知,就用许多话劝勉弟兄,坚固他们。 33 住了些日子,弟兄们打发他们平平安安地回到差遣他们的人那里去。[b] 35 但保罗和巴拿巴仍住在安提阿,和许多别人一同教训人,传主的道。
保罗巴拿巴为马可分开
36 过了些日子,保罗对巴拿巴说:“我们可以回到从前宣传主道的各城,看望弟兄们景况如何。” 37 巴拿巴有意要带称呼马可的约翰同去, 38 但保罗因为马可从前在旁非利亚离开他们,不和他们同去做工,就以为不可带他去。 39 于是二人起了争论,甚至彼此分开。巴拿巴带着马可,坐船往塞浦路斯去; 40 保罗拣选了西拉,也出去,蒙弟兄们把他交于主的恩中。 41 他就走遍叙利亚、基利家,坚固众教会。
Footnotes
- 使徒行传 15:24 有古卷在此有:你们必须受割礼,守摩西的律法。
- 使徒行传 15:33 有古卷在此有:34唯有西拉定意仍住在那里。
Matendo Ya Mitume 15
Neno: Bibilia Takatifu
Wayahudi. 28 Wakakaa huko na wale wanafunzi kwa muda mrefu.
Baraza La Yerusalemu
15 Watu wengine walikuja Antiokia kutoka Yudea wakawa wakiwa fundisha ndugu walioamini kwamba, “Kama hamkutahiriwa kufuatana na desturi iliyofundishwa na Musa hamwezi kuokolewa.” 2 Paulo na Barnaba walikuwa na mabishano makali nao wakipinga mafundisho haya. Ikaamuliwa kwamba Paulo na Barnaba na waamini wengine waende Yerusalemu wakawaulize mitume na wazee juu ya jambo hili. 3 Kwa hiyo, wakiwa wametumwa na kanisa, njiani walipitia makanisa ya Foenike na Samaria wakatoa taarifa jinsi watu wa mataifa men gine walivyokuwa wakimgeukia Bwana. Habari hizi ziliwafurahisha sana hao ndugu. 4 Walipofika Yerusalemu walipokelewa na kanisa, mitume na wazee; nao wakatoa taarifa kuhusu mambo yote ambayo Mungu aliyafanya kwa kuwatumia wao. 5 Lakini baadhi ya waamini waliokuwa wakishikilia desturi za Mafarisayo wakasema, “Ni lazima watahiriwe na wafundishwe kushika sheria ya Musa.”
6 Mitume na wazee wa kanisa wakakutana kushauriana juu ya jambo hili. 7 Baada ya majadiliano marefu, Petro akasimama na kusema, “Ndugu zangu, mnajua kwamba siku za mwanzo Mungu alini chagua ili kwa midomo yangu watu wa mataifa mengine wapate kusi kia Habari Njema na kuamini. 8 Na Mungu ambaye anajua mioyo ya watu alishuhudia kwamba anawakubali watu wa mataifa kwa kuwapa Roho Mtakatifu kama alivyotupa na sisi. 9 Mungu hakutofautisha kati yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa sababu waliamini. 10 Sasa basi, mbona mnataka kumjaribu Mungu kwa kuwatwika hawa ndugu wanafunzi mzigo wa sheria ambao baba zetu na sisi tumesh indwa kuubeba? 11 Sisi tunaamini ya kuwa tunaokolewa kwa neema ya Bwana wetu Yesu, kama na wao wanavyookolewa.” 12 Baraza lote likakaa kimya; wakawasikiliza Paulo na Barnaba wakieleza jinsi Mungu alivyowatumia kutenda ishara na maajabu kwa watu wa mataifa. 13 Walipomaliza maelezo yao, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni. 14 Simoni amekwisha kutueleza jinsi, kwa mara ya kwanza, Mungu amejichagulia waamini kutoka kwa watu wa mataifa. 15 Hata maneno ya manabii yanakubaliana kabisa na jambo hili. Kama ilivyoandikwa: 16 ‘ Baada ya mambo haya nitarudi, nami nitajenga upya nyumba ya Daudi ambayo imeanguka. Nitajenga tena magofu yake na kuisimamisha, 17 ili binadamu wengine wote wamtafute Bwana, pamoja na watu wa mataifa yote ambao wanaitwa kwa jina langu; 18 asema Bwana, ambaye ametufahamisha mambo hayo tangu kale.’
19 “Kwa hiyo uamuzi wangu ni kwamba, tusiwasumbue watu wa mataifa wanaomgeukia Mungu kwa desturi zetu; 20 badala yake, tuwaandikie barua tuwaambie wajiepushe na uchafu wa ibada za sanamu, na zinaa na waache kula nyama ya wanyama walionyongwa au kunywa damu. 21 Kwa maana sheria za Musa zimekuwa zikihubiriwa katika kila mji na kusomwa katika masinagogi kila sabato tangu vizazi vya awali.”
Barua Kwa Waamini Wa Mataifa Mengine
22 Mitume na wazee na kanisa zima wakakubaliana. Wakachagua watu waongozane na Paulo na Barnaba kwenda Antiokia. Walimchagua Yuda aitwaye Barsaba na Sila. Hawa wawili walikuwa viongozi wal ioheshimiwa miongoni mwa ndugu wote. 23 Wakatumwa na barua ifu atayo: “Sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimu ninyi wa mataifa mlioamini huko Antiokia, Siria na Kilikia. 24 Kwa kuwa tumesikia kwamba kuna baadhi ya watu kati yetu waliokuja huko bila kibali chetu kutatanisha mawazo yenu kwa maneno yao, 25 tumeona ni vyema, kwa kauli moja, kuwachagua watu waje huko pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paulo, 26 ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo. 27 Tumewatuma hawa ndugu, Yuda na Sila, wawaeleze kwa mdomo mambo haya tunayow aandikia. 28 Kwa maana Roho Mtakatifu ameona vyema na sisi tume kubaliana tusiwatwike mzigo mkubwa zaidi ya mambo yafuatayo ambayo ni ya lazima: 29 kwamba msile cho chote kilichotolewa sadaka katika ibada za sanamu, kunywa damu, nyama ya wanyama wal ionyongwa; na muepukane na uasherati. Mkijitenga na mambo haya mtakuwa mmefanya vyema. Kwaherini.”
30 Wale wajumbe walipokwisha kuagwa, wakaondoka wakaenda Antiokia, wakakusanya ushirika wote wa waamini, wakawapa ile barua. 31 Nao watu walipokwisha kuisoma, wakafurahishwa sana na ujumbe wake wa kutia moyo. 32 Yuda na Sila, ambao walikuwa mana bii wa kawapa ushauri mwingi wa kuwatia moyo na kuwajenga katika imani. 33 Wakakaa Antiokia kwa muda na kisha waamini wakawaaga. Wakarudi kwa amani kwa wale waliowatuma. [ 34 Lakini Sila aliona ni vema kukaa huko.] 35 Lakini Paulo na Barnaba walibaki Anti okia pamoja na wengine wengi wakifundisha na kuhubiri neno la
Paulo Na Barnaba Wanatengana
36 Baada ya siku chache Paulo alimwambia Barnaba, “Twende tukawatembelee ndugu katika miji yote ambamo tulihubiri neno la Bwana tuone jinsi waamini wanavyoendelea.” 37 Barnaba alitaka wamchukue Yohana Marko waende naye. 38 Lakini Paulo aliona si vizuri kumchukua kwa sababu aliwahi kuwakimbia walipokuwa huko Pamfilia, akakataa kuendelea kufanya kazi nao. 39 Pakatokea ubishi mkali kati ya Paulo na Barnaba juu ya jambo hili, wakaten gana. Barnaba akamchukua Yohana Marko akaenda naye Kipro. 40 Paulo akamchagua Sila akaondoka baada ya ndugu kuwatakia neema ya Bwana. 41 Naye akapitia Siria na Kilikia wakaimarisha makanisa ya huko.
Copyright © 2011 by Global Bible Initiative
Copyright © 1989 by Biblica