Love C.S. Lewis? Sign up for daily inspiration today!

Add parallel Print Page Options

11 Sasa, wapendwa dada zangu na kaka zangu mjazwe furaha. Jitahidini kutengeneza njia zenu, fanyeni nilichowaomba kufanya. Mpatane kila mmoja na mwenziwe, na ishini katika amani. Ndipo Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.

12 Msalimiane kwa salamu maalum ya watu wa Mungu.[a] Watakatifu wote wa Mungu hapa nao wanawasalimu.

13 Ninawaombea ili ninyi nyote mfurahie neema ya Bwana Yesu Kristo, upendo wa Mungu, na Ushirika[b] wa Roho Mtakatifu.

Read full chapter

Footnotes

  1. 13:12 salamu maalum ya watu wa Mungu Kwa maana ya kawaida, “busu takatifu”.
  2. 13:13 Ushirika Hii inaweza kumaanisha kushirikiana katika Roho Mtakatifu au kupenda kushirikishana mambo na kukaa katika umoja wa waamini kunakofanywa na Roho Mtakatifu.

11 Sasa, wapendwa dada zangu na kaka zangu mjazwe furaha. Jitahidini kutengeneza njia zenu, fanyeni nilichowaomba kufanya. Mpatane kila mmoja na mwenziwe, na ishini katika amani. Ndipo Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.

12 Msalimiane kwa salamu maalum ya watu wa Mungu.[a] Watakatifu wote wa Mungu hapa nao wanawasalimu.

13 Ninawaombea ili ninyi nyote mfurahie neema ya Bwana Yesu Kristo, upendo wa Mungu, na Ushirika[b] wa Roho Mtakatifu.

Read full chapter

Footnotes

  1. 13:12 salamu maalum ya watu wa Mungu Kwa maana ya kawaida, “busu takatifu”.
  2. 13:13 Ushirika Hii inaweza kumaanisha kushirikiana katika Roho Mtakatifu au kupenda kushirikishana mambo na kukaa katika umoja wa waamini kunakofanywa na Roho Mtakatifu.