Halitakuwa sawa na agano lililotengenezwa na baba zao. Hilo ni agano nililowapa nilipowachukua kwa mkono na kuwatoa Misri. Hawakuendelea kufuata agano nililowekeana nao, na nikageuka mbali nao, asema Bwana.
Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na baba zao siku ile nilipowashika mkono niwaongoze kutoka nchi ya Misri; kwa kuwa hawakuwa waaminifu kwa agano langu, nami nikawaacha, asema Bwana.