Font Size
Warumi 2:12-13
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 2:12-13
Neno: Bibilia Takatifu
12 Watu wote waliotenda dhambi pasipokuwa na sheria ya Musa wataangamia pasipo sheria; na wale wote waliotenda dhambi chini ya sheria ya Musa watahukumiwa kwa sheria iyo hiyo. 13 Kwa maana wanaohesabiwa haki mbele ya Mungu si wale wanaosikia bali ni wal ewanaotii maagizo ya sheria.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica