Font Size
Warumi 1:26
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 1:26
Neno: Bibilia Takatifu
26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa.
Read full chapter
Warumi 1:26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 1:26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 Hivyo, kwa kuwa watu hawakumheshimu Mungu, Mungu akawaacha wafuate tamaa zao za aibu. Wanawake wao wakabadili namna ya kujamiiana na wakawatamani wanawake wenzao na wakajamiiana wao kwa wao.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International