Font Size
Ufunua wa Yohana 12:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 12:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Vita Mbinguni
7 Kisha kukazuka vita mbinguni: Mikaeli na malaika wake waki pigana na hilo joka. Joka nalo pamoja na malaika wake likapigana nao. 8 Lakini joka na malaika wake wakashindwa na hapakuwa tena na nafasi kwa ajili yao mbinguni. 9 Basi joka hilo kuu likatupwa nje, yule nyoka wa kale aitwaye Ibilisi na Shetani, adanganyaye watu wote ulimwenguni. Alitupwa chini ardhini, yeye pamoja na malaika wake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica