Font Size
Mathayo 16:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 16:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Simoni Petro akajibu, “Wewe ni Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai.”
17 Yesu akajibu, “Umebarikiwa, Simoni mwana wa Yona. Hakuna aliyekufundisha hilo ila Baba yangu wa mbinguni ndiye amekuonesha mimi ni nani.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International