Font Size
Mathayo 10:9-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:9-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 Msibebe pesa pamoja nanyi; dhahabu au fedha au shaba nyekundu. 10 Msibebe mikoba. Chukueni nguo na viatu mlivyovaa tu. Na msichukue fimbo ya kutembelea. Mfanyakazi anastahili kupewa anachohitaji.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International