Font Size
Matayo 5:21-22
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 5:21-22
Neno: Bibilia Takatifu
Mafundisho Kuhusu Hasira
21 “Mmesikia walivyowafundisha watu wa zamani kwamba, ‘Usiue; na ye yote atakayeua atastahili hukumu.’ 22 Lakini mimi nawaambia kwamba, ye yote atakayemkasirikia ndugu yake atasta hili hukumu; na ye yote atakayemtukana ndugu yake, atashtakiwa katika baraza; na ye yote atakayemwambia ndugu yake, ‘Wewe mjinga,’ atastahili hukumu ya moto wa Jehena.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica