Font Size
Mathayo 4:21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 4:21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
21 Yesu akaendelea kutembea kutoka pale. Akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo. Walikuwa kwenye mashua pamoja na Zebedayo baba yao. Walikuwa wakiandaa nyavu zao za kuvulia samaki. Yesu akawaita wamfuate.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International