Matayo 4:21
Neno: Bibilia Takatifu
21 Alipoendelea mbele kidogo, aliwakuta ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo wakishona nyavu zao; akawaita.
Read full chapter
Mathayo 4:21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
21 Yesu akaendelea kutembea kutoka pale. Akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo. Walikuwa kwenye mashua pamoja na Zebedayo baba yao. Walikuwa wakiandaa nyavu zao za kuvulia samaki. Yesu akawaita wamfuate.
Read full chapter
Matthew 4:21
New International Version
21 Going on from there, he saw two other brothers, James son of Zebedee and his brother John.(A) They were in a boat with their father Zebedee, preparing their nets. Jesus called them,
Copyright © 1989 by Biblica
Copyright © 2017 by Bible League International
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.