Font Size
Matayo 25:35-36
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 25:35-36
Neno: Bibilia Takatifu
35 Kwa maana nilikuwa na njaa mkanipa chakula; nilikuwa na kiu mkanipa kitu cha kunywa; nilikuwa mgeni mkanikaribisha; 36 nilikuwa sina nguo, mkanivisha; nilikuwa mgonjwa mkaja kunitazama; na nilikuwa kifungoni mkaja kunitembe lea.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica