Font Size
Matayo 21:2-7
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 21:2-7
Neno: Bibilia Takatifu
2 aka waagiza, “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu na mkiingia mtamwona punda amefungwa na mwanapunda pamoja naye. Wafungueni mniletee. 3 Kama mtu akiwauliza lo lote, mwambieni, ‘Bwana anawa hitaji 4 Haya yalitokea ili kutimiza utabiri wa nabii aliposema, 5 ‘Mwambieni binti Sayuni, tazama mfalme wako anakuja kwako ni mnyenyekevu, na amepanda punda, mwanapunda, mtoto wa punda.’
6 Wale wanafunzi wakaenda, wakafanya kama Yesu alivyowaagiza. 7 Wakamleta yule punda na mwanapunda. Wakatandika mavazi yao juu ya hao punda na Yesu akaketi juu yake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica