Font Size
Matayo 2:11
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 2:11
Neno: Bibilia Takatifu
11 Walipoingia ndani ya ile nyumba walimwona mtoto na mama yake Mariamu, wakainama chini kwa heshima kubwa wakamwabudu. Kisha wakafungua mikoba yao, wakampa zawadi: dhahabu, uvumba na manemane.
Read full chapter
Mathayo 2:11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 2:11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
11 Wenye hekima hao kisha waliingia katika nyumba alimokuwamo mtoto Yesu pamoja na Mariamu mama yake. Walisujudu na kumwabudu mtoto. Kisha wakafungua masanduku yenye zawadi walizomletea mtoto. Wakampa hazina za dhahabu, uvumba na manemane.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International