Font Size
Matayo 16:16-17
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 16:16-17
Neno: Bibilia Takatifu
16 Simoni Petro akamjibu, “Wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”
Mwana wa Mungu aliye hai.”
17 Na Yesu akamwambia, “Umebarikiwa, Simoni mwana wa Yona, kwa maana si mwanadamu aliyekufunulia hili, bali ni Baba yangu aliye mbinguni.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica