Font Size
Matayo 16:16-17
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 16:16-17
Neno: Bibilia Takatifu
16 Simoni Petro akamjibu, “Wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”
Mwana wa Mungu aliye hai.”
17 Na Yesu akamwambia, “Umebarikiwa, Simoni mwana wa Yona, kwa maana si mwanadamu aliyekufunulia hili, bali ni Baba yangu aliye mbinguni.
Read full chapter
Mathayo 16:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 16:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Simoni Petro akajibu, “Wewe ni Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai.”
17 Yesu akajibu, “Umebarikiwa, Simoni mwana wa Yona. Hakuna aliyekufundisha hilo ila Baba yangu wa mbinguni ndiye amekuonesha mimi ni nani.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International