Font Size
Matayo 13:10-11
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 13:10-11
Neno: Bibilia Takatifu
Sababu Ya Kufundisha Kwa Mifano
10 Wanafunzi wake wakamwendea wakamwuliza, “Kwa nini unazungumza na watu kwa mifano?” 11 Akawajibu, “Ninyi mmejal iwa kuzifahamu siri za Ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakujal iwa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica