Font Size
Matayo 13:52
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 13:52
Neno: Bibilia Takatifu
52 Akawaambia, “Basi kila mwalimu wa sheria aliye mwanafunzi wa Ufalme wa mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa kutoka katika ghala yake mali mpya na mali ya zamani.”
Read full chapter
Mathayo 13:52
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 13:52
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
52 Kisha Yesu akawaambia wafuasi wake, “Hivyo kila mwalimu wa sheria aliyejifunza kuhusu ufalme wa Mungu ana baadhi ya vitu vizuri vya kufundisha. Ni kama mmiliki wa nyumba, aliye na vitu vipya na vya zamani nyumbani mwake. Na huvitoa nje vipya na vya zamani.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International