Font Size
Mathayo 13:19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 13:19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Vipi kuhusu mbegu zilizoangukia njiani? Hizo zinafanana na watu wanaosikia mafundisho kuhusu ufalme wa Mungu lakini hawauelewi. Mwovu huja na kuyachukua yaliyopandwa katika mioyo yao.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International