19 Mtu anaposikia neno la Ufalme na asilielewe, yule mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake; hii ndio mbegu iliyopandwa njiani.

Read full chapter

19 Vipi kuhusu mbegu zilizoangukia njiani? Hizo zinafanana na watu wanaosikia mafundisho kuhusu ufalme wa Mungu lakini hawauelewi. Mwovu huja na kuyachukua yaliyopandwa katika mioyo yao.

Read full chapter

19 When anyone hears the message about the kingdom(A) and does not understand it, the evil one(B) comes and snatches away what was sown in their heart. This is the seed sown along the path.

Read full chapter