Matayo 13:19
Neno: Bibilia Takatifu
19 Mtu anaposikia neno la Ufalme na asilielewe, yule mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake; hii ndio mbegu iliyopandwa njiani.
Read full chapter
Mathayo 13:19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Vipi kuhusu mbegu zilizoangukia njiani? Hizo zinafanana na watu wanaosikia mafundisho kuhusu ufalme wa Mungu lakini hawauelewi. Mwovu huja na kuyachukua yaliyopandwa katika mioyo yao.
Read full chapter
Matthew 13:19
New International Version
19 When anyone hears the message about the kingdom(A) and does not understand it, the evil one(B) comes and snatches away what was sown in their heart. This is the seed sown along the path.
Copyright © 1989 by Biblica
Copyright © 2017 by Bible League International
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.