26 Na kama shetani anamfukuza shetani, atakuwa amega wanyika yeye mwenyewe. Basi ufalme wake utaendeleaje?

Read full chapter

26 Hivyo ikiwa Shetani anayafukuza mashetani[a] yake mwenyewe, anapigana kinyume chake yeye mwenyewe, na ufalme wake hautaishi.

Read full chapter

Footnotes

  1. 12:26 ikiwa Shetani … mashetani Kwa maana ya kawaida, “ikiwa Shetani atamfukuza Shetani.”