Font Size
Matayo 11:9-10
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 11:9-10
Neno: Bibilia Takatifu
9 Basi kwa nini mlikwenda huko? Kumwona nabii? Naam, nawaambieni yeye ni zaidi ya nabii. 10 Huyo ndiye ambaye anaelezwa katika Maandiko kwamba: ‘ Angalia namtuma mjumbe mbele yako, ambaye atakuandalia njia.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica