Font Size
Matayo 10:9-10
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 10:9-10
Neno: Bibilia Takatifu
9 Msichukue dhahabu, wala fedha wala sarafu za shaba katika mikanda yenu. 10 Msichukue mikoba ya safari, wala koti la pili, wala viatu, wala fimbo: kwa maana mfanyakazi anastahili riziki yake.
Read full chapter
Mathayo 10:9-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:9-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 Msibebe pesa pamoja nanyi; dhahabu au fedha au shaba nyekundu. 10 Msibebe mikoba. Chukueni nguo na viatu mlivyovaa tu. Na msichukue fimbo ya kutembelea. Mfanyakazi anastahili kupewa anachohitaji.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International