Font Size
Matayo 1:18
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 1:18
Neno: Bibilia Takatifu
Kuzaliwa Kwa Yesu Kristo
18 Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake, alikuwa ameposwa na Yosefu. Lakini kabla ya ndoa yao, Mar ia akiwa bado bikira, alipata mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Read full chapter
Mathayo 1:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 1:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Kuzaliwa kwa Yesu, Masihi
(Lk 2:1-7)
18 Kuzaliwa kwa Yesu Masihi, kulikuwa hivi: Mariamu mama yake alikuwa amechumbiwa na Yusufu. Kabla hawajaoana, Yusufu aligundua kuwa Mariamu alikuwa mja mzito. (Yeye alipata mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.)
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International