Font Size
Marko 8:31
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:31
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Azungumza Juu Ya Kifo Chake
31 Akaanza kuwafundisha wanafunzi wake kuwa yeye, Mwana wa Adamu, atapata mateso mengi na kukataliwa na wazee, na makuhani wakuu na walimu wa sheria; na kwamba atauawa na baada ya siku tatu atafufuka.
Read full chapter
Marko 8:31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Asema ni Lazima Afe
(Mt 16:21-28; Lk 9:22-27)
31 Ndipo alianza kuwafundisha akisema: “Mwana wa Adamu lazima apate mateso mengi, na kukatataliwa na wazee, wakuu wa makuhani na walimu wa Sheria, na ni lazima atauawa na Kufufufuka baada ya siku ya tatu.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International