Font Size
Marko 6:37-38
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 6:37-38
Neno: Bibilia Takatifu
37 Lakini Yesu akawajibu, “Wapeni ninyi chakula.” Wakam wambia, “Tunahitaji fedha nyingi sana, kununulia mikate ya kutosha kulisha watu wote hawa.”
38 Akawauliza, “Mna mikate mingapi? Nendeni mkaangalie.” Waliporudi wakamwambia, “Ipo mikate mitano na samaki wawili.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica