Font Size
Marko 5:13
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 5:13
Neno: Bibilia Takatifu
13 Basi akawaruhusu. Wakamtoka yule mtu wakaenda wakawaingia wale nguruwe na kundi lote la nguruwe wapatao elfu mbili likatimka kasi kwenye mteremko ule, wakazama ziwani, wakafa.
Read full chapter
Marko 5:13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 5:13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
13 Naye akawaruhusu. Kwa hiyo pepo wachafu walimtoka mtu yule na kuwaingia nguruwe.[a] Kundi lile lilikuwa na idadi karibu ya elfu mbili, lilikimbia kuelekea kwenye kingo zenye mtelemko mkali na kutumbukia ziwani, ambamo walizama.
Read full chapterFootnotes
- 5:13 nguruwe Watu kijijini walikuwa wakiwatunza nguruwe katika kundi moja kubwa. Kundi hilo lilikuwa chanzo muhimu cha mapato kwa kijiji.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International