Font Size
Marko 3:16-19
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 3:16-19
Neno: Bibilia Takatifu
16 Hawa ndio aliowachagua: Simoni, ambaye alimwita Petro, 17 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo ambao aliwaita Boanerge, yaani wana wa ngurumo; 18 Andrea; Filipo; Bartholomayo; Mathayo; Tomaso; Yakobo, mwana wa Alfayo; Thadayo; Simoni, Mkanaani; na 19 Yuda
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica