Font Size
Marko 1:12-13
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 1:12-13
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Ajaribiwa Nyikani
12 Mara tu baada ya haya, Roho akamwongoza Yesu mpaka nyikani. 13 Akakaa huko nyikani kwa muda wa siku arobaini aki jaribiwa na shetani. Alikaa na wanyama wa porini na malaika wal imhudumia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica