Tamaño de la fuente
Marko 12:35-37
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 12:35-37
Neno: Bibilia Takatifu
Kuhusu Mwana Wa Daudi
35 Yesu alipokuwa akifundisha Hekaluni, aliuliza, “Mbona walimu wa sheria wanasema kwamba Kristo ni Mwana wa Daudi? 36 Kwa maana Daudi akiongozwa na Roho Mtakatifu alisema, ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: keti mkono wangu wa kulia mpaka niwashi nde na kuwafedhehesha maadui zako chini ya miguu yako.’ 37 Ikiwa Daudi mwenyewe anamwita Bwana, yawezekanaje tena Kristo akawa mwanawe?” Watu wote wakamsikiliza kwa furaha.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica