Font Size
Marko 12:36
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 12:36
Neno: Bibilia Takatifu
36 Kwa maana Daudi akiongozwa na Roho Mtakatifu alisema, ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: keti mkono wangu wa kulia mpaka niwashi nde na kuwafedhehesha maadui zako chini ya miguu yako.’
Read full chapter
Marko 12:36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 12:36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
36 Daudi mwenyewe kwa kupitia Roho Mtakatifu alisema,
‘Bwana Mungu alimwambia Bwana Mfalme wangu:
Keti karibu nami upande wangu wa kuume,
nami nitawaweka adui zako chini ya udhibiti wako.’[a](A)
Footnotes
- 12:36 chini ya udhibiti wako Mafundisho ya Yesu katika Lk 10:25-37 yanaonesha kwa uwazi kuwa hii ni pamoja na yeyote mwenye uhitaji.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International