Tamaño de la fuente
Marko 11:9-10
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 11:9-10
Neno: Bibilia Takatifu
8-10 Watu wengi wakatandaza nguo zao barabarani na wengine wakatandaza matawi waliyokata mashambani. Na wote waliotangulia na wale waliofuata wakapaza sauti zao wakasema: “Hosana! Mungu apewe sifa! Mungu ambariki yeye anayekuja kwa jina la Bwana! Ubarikiwe Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi! Mungu asifiwe!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica