Font Size
Marko 10:35
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 10:35
Neno: Bibilia Takatifu
Ombi La Yakobo Na Yohana
35 Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo wakamwendea Yesu wakamwambia, “Bwana, kuna jambo moja tungependa kukuomba.”
Read full chapter
Marko 10:35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 10:35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo na Yohana Waomba Kutawala Pamoja na Yesu
(Mt 20:20-28)
35 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, walimwendea Yesu, wakamwambia, “Mwalimu tunataka utufanyie kile tunachokuomba.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International