Tamaño de la fuente
Luka 8:49-50
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 8:49-50
Neno: Bibilia Takatifu
49 Wakati Yesu alipo kuwa bado anasema, akaja mtumishi kutoka nyumbani kwa Yairo kum wambia, “Binti yako amefariki. Hakuna sababu ya kuendelea kum sumbua Mwalimu.” 50 Lakini Yesu aliposikia haya alimwambia Yairo, “Usiogope. Uwe na imani na binti yako atapona.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica