Font Size
Luka 5:37-39
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 5:37-39
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
37 Pia hakuna mtu anayeweka divai mpya[a] katika viriba vya zamani. Divai mpya itavipasua, divai itamwagika, na viriba vitaharibika. 38 Daima mnaweka divai mpya kwenye viriba vipya. 39 Hakuna mtu ambaye baada ya kunywa divai ya zamani hutaka divai mpya. Kwa sababu husema, ‘Divai ya zamani ni nzuri.’”
Read full chapterFootnotes
- 5:37 divai mpya Maji ya zabibu ambayo ndiyo yanaanza kuchachuka na hutengeneza mgandamizo ndani ya chombo kilichofungwa.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International