Font Size
Luka 3:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 3:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana Mbatizaji Aanza Kuhubiri
3 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Neno la Mungu lilimfikia Yohana mwana wa Zakaria alipokuwa nyikani. Wakati huo Pontio Pilato alikuwa mtawala wa Yudea; Her ode mtawala wa Galilaya, nduguye Filipo mtawala wa Iturea na Tra koniti; na Lisania alikuwa mtawala wa Abilene. 2 Anasi na Kayafa walikuwa makuhani wakuu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica