Font Size
Luka 2:11
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 2:11
Neno: Bibilia Takatifu
11 Kwa maana leo katika mji wa Bethlehemu, amezaliwa Mwokozi ambaye ndiye Kristo Bwana.
Read full chapter
Luka 2:11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 2:11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
11 Kwa sababu leo katika mji wa Daudi amezaliwa Mwokozi, ndiye Kristo,[a] Bwana.
Read full chapterFootnotes
- 2:11 Kristo Kwa maana ya kawaida “Kristo”, ni tafsiri ya Kiyunani ya neno la Kiebrania “Masihi” linalomaanisha “Mpakwa Mafuta”, ambapo katika Agano la Kale linawakilisha sherehe ya kupakwa mafuta (Kuwekwa Wakfu) mfalme mpya. Pia linamaanisha Mfalme Mteule. Tazama Kristo na Masihi katika Orodha ya Maneno. Pia katika mstari wa 26 na katika kitabu chote hiki.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International