Font Size
Luka 15:8-9
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 15:8-9
Neno: Bibilia Takatifu
Shilingi Iliyopotea
8 “Au tuseme mwanamke ana shilingi kumi halafu apoteze moja. Si atawasha taa afagie nyumba na kutafuta kwa uangalifu mpaka aipate? 9 Na akisha kuipata atawaita marafiki zake na majirani na kuwaambia, ‘Furahini pamoja nami; nimeipata ile shilingi yangu iliyopotea!’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica