Font Size
Luka 15:8-9
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 15:8-9
Neno: Bibilia Takatifu
Shilingi Iliyopotea
8 “Au tuseme mwanamke ana shilingi kumi halafu apoteze moja. Si atawasha taa afagie nyumba na kutafuta kwa uangalifu mpaka aipate? 9 Na akisha kuipata atawaita marafiki zake na majirani na kuwaambia, ‘Furahini pamoja nami; nimeipata ile shilingi yangu iliyopotea!’
Read full chapter
Luka 15:8-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 15:8-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Fikiria kuhusu mwanamke mwenye sarafu kumi za fedha,[a] lakini akapoteza sarafu moja kati ya hizo. Atawasha taa na kuifagia nyumba. Ataitafuta sarafu kwa bidii mpaka aione. 9 Na akiiona, atawaita rafiki na jirani zake na kuwaaambia, ‘Furahini pamoja nami, kwa sababu nimeipata sarafu niliyoipoteza!’
Read full chapterFootnotes
- 15:8 sarafu kumi za fedha Kila sarafu, Sarafu ya Kiyunani iliyoitwa drachma ilikuwa na thamani ya ujira au mshahara wa siku moja.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International