Font Size
Luka 12:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 12:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 “Ninawaambia, kila atakayenikiri mbele za watu, pia mimi Mwana wa Adamu nitamkiri mbele ya malaika wa Mungu. 9 Lakini kila anayenikana mbele za watu, pia mimi Mwana wa Adamu nitamkana mbele ya malaika wa Mungu. 10 Na kila atakayesema neno baya kunihusu mimi Mwana wa Adamu atasamehewa. Lakini mtu anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica