Font Size
Luka 12:10
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 12:10
Neno: Bibilia Takatifu
10 Na kila atakayesema neno baya kunihusu mimi Mwana wa Adamu atasamehewa. Lakini mtu anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
Read full chapter
Luka 12:10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 12:10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Kila asemaye neno kinyume na Mwana wa Adamu atasamehewa. Lakini atakayesema kinyume na Roho Mtakatifu hatasamehewa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International