Font Size
Yuda 8
Neno: Bibilia Takatifu
Yuda 8
Neno: Bibilia Takatifu
8 Ndivyo walivyo hawa watu. Ndoto zao huwaongoza wachafue miili yao, wasitii mamlaka; na watukane viumbe watakatifu walioko mbinguni.
Read full chapter
Yuda 8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yuda 8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Ni sawasawa na watu hawa waliojiingiza kwenye kundi lenu. Wanaongozwa na ndoto, wanajichafua wenyewe kwa dhambi. Wanapuuza mamlaka ya Bwana na kusema mambo mabaya kinyume na walio watukufu.[a]
Read full chapterFootnotes
- 1:8 watukufu Hapa inamaanisha viumbe wa mbinguni, malaika.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International