Font Size
Yohana 21:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 21:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Ukweli ni huu, wakati ulipokuwa mdogo, ulijifunga mwenyewe mkanda wako kiunoni na kwenda ulikotaka. Lakini utakapozeeka, utainyoosha mikono yako,[a] na mtu mwingine atakufunga mkanda wako. Watakuongoza kwenda mahali usikotaka kwenda.”
Read full chapterFootnotes
- 21:18 utainyoosha mikono yako Kunyoosha mikono ilikuwa no njia ya kawaida ya kusema juu ya kusulubishwa.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International