Font Size
Yohana 2:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 2:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Divai ilipowaishia, mama yake Yesu alimwambia, “Hawana divai.” 4 Yesu akamjibu, “Mama, mbona unanihusisha kwenye jambo hili? Wakati wangu bado haujafika.” 5 Mama yake akawaambia watumishi, “Lo lote atakalowaambia, fanyeni. ”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica