Font Size
Yohana 21:18
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 21:18
Neno: Bibilia Takatifu
18 Nakuambia wazi, ulipokuwa kijana ulivaa na kwenda unakotaka; lakini ukiwa mzee utanyoosha mikono yako na mtu mwingine atakuvika nguo na kukupeleka usipotaka kwenda.”
Read full chapter
Yohana 21:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 21:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Ukweli ni huu, wakati ulipokuwa mdogo, ulijifunga mwenyewe mkanda wako kiunoni na kwenda ulikotaka. Lakini utakapozeeka, utainyoosha mikono yako,[a] na mtu mwingine atakufunga mkanda wako. Watakuongoza kwenda mahali usikotaka kwenda.”
Read full chapterFootnotes
- 21:18 utainyoosha mikono yako Kunyoosha mikono ilikuwa no njia ya kawaida ya kusema juu ya kusulubishwa.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International