Font Size
Yohana 20:8-9
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 20:8-9
Neno: Bibilia Takatifu
8 Kisha yule mwanafunzi aliyewahi kufika kaburini naye akaingia ndani; akaona, akaamini. 9 Kwa maana mpaka wakati huo walikuwa bado hawajaelewa yale Maandiko yaliyotabiri kuwa angefufuka kutoka kwa wafu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica