Font Size
Yohana 2:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 2:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Divai ilipowaishia, mama yake Yesu alimwambia, “Hawana divai.” 4 Yesu akamjibu, “Mama, mbona unanihusisha kwenye jambo hili? Wakati wangu bado haujafika.” 5 Mama yake akawaambia watumishi, “Lo lote atakalowaambia, fanyeni. ”
Read full chapter
Yohana 2:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 2:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Hapo arusini divai ilipungua, mama yake Yesu akamwambia mwanaye, “Hawana divai ya kutosha.”
4 Yesu akajibu, “Mama, kwa nini unaniambia mambo hayo? Wakati sahihi kwangu kufanya kazi haujafika bado.”
5 Mama yake akawaambia wahudumu wa arusi, “Fanyeni lo lote lile atakalowaambia.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International