Font Size
Yohana 1:12-13
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 1:12-13
Neno: Bibilia Takatifu
12 Bali wote waliompokea na kumwamini aliwapa haki ya kufanywa watoto wa Mungu. 13 Hawa hawakuwa watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili, wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali wamezaliwa na Mungu mwenyewe.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica