Font Size
Yohana 19:29-30
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 19:29-30
Neno: Bibilia Takatifu
29 Hapo palikuwa na bakuli lililojaa siki. Kwa hiyo wakachukua sponji iliyolowanishwa kwenye hiyo siki wakaichomeka kwenye ufito wa hisopo wakampandishia mdomoni. 30 Baada ya kuipokea hiyo siki, Yesu akasema, “Imekwisha.” Akainamisha kichwa, akakata roho.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica